Khadja Nin
Текст песни Damu Ya Salaam

Добавьте этот текст песни в ваш персональный список песен.

Текст песни Khadja Nin - Damu Ya Salaam

tangu iraki mpaka amerika
wako karibu yakufunga vita
mi mama mzazi nauliza
ni nani ata linda watoto wetu
bwana hussein anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu

mimi huyu nakosa njiya
yakusikika kwa wakubwa
kwa hakika tulijioneya
vita ya kwanza ilizala fitina
bwana hussein anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu

nakata matumaini
ju kwa vile naona
wakubwa hawajali macozi ya
mutu mudogo analiya wake
siraha ya amani ilikuta kwake
mr.clinton anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu

mr.clinton anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu

Поиск текстов

Ваш личный список песен:

Для быстрого перехода к нужной песне вы можете добавлять в этот список любые тексты песен. Данный список автоматически сохраняется на вашем компьютере.